Wacha matusi wewe!!Kama nawaona wale mashoga wawili wa Yanga na Zeruzeru watavyotifuatana
Pyramids 0
Gallants 0
Kwa nyongeza tu kazi ya shabiki ni kushangilia na kuzomea tu mengine hayamuhusu na jukumu la kuiitakia ni kuliaASIPUUZWE KABISA HUYU ANA HOJA [emoji116]
"Heshima ya timu inajengwa na vikombe vnavyotambulika na CAF/FIFA. ukiingia kutafuta profile ya timu utaona umeweka domestic cups na CAF interclub cups. Hizo pesa wewe kama mshabiki zinakusaidia nini? Au Mo anazigawaga kwa mashabiki pesa zinazovunwa? Shabiki raha yake ni vikombe sio pesa."
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni offised sasa unatafutaSio counter ile, angalia hata wachezaji wa Yanga wengi walikuwa kwenye eneo lao.
Counter inaanzia eneo la upinzani unafanya mashambulizi ya haraka kabla ya mpinzani hajafika kwenye eneo lake kutengeneza shape ya ulinzi
...hilo mnajua nyinyi, sisi tunachojua tumeshinda bila mvua.!Champions league haiwezi kuwa sawa na looser league
[emoji1787][emoji1787] sio haland.Mayele vua kinyago tumegundua wewe ni Benzema
Au sioRivers vs Young Africa 0-1 only if akianza na Aziz halafu captain wao mwamnyeto asicheze
Hamna kitu hapo, wakuwahofia ni USM Urger na AS Rabat tu. Asec na Gallas ni vibonde tuHawa wametoka 1-1
Lakini Gallants na Asec wanaweza kuitisha Yanga, kwa jinsi niivyoona mechi zao.
Mnafiki mkubwa wa muda wote [emoji23]Nimekuwa mshabiki na nikiifatilia Rivers United tangu nikiwa nafanya shughuli zangu za bodaboda hapo jijini Lagos. Kila la heri kwa Rivers United
We jamaa ni mamlukiLeo yanga tunaweza tukafungwa amini usiamini ila kuchomoka na ushindi leo ni ngumu sanaaaa.
Nina was was na mentality ya wachezaji toka tupigwe na kitu kizito kwenye mechi ya derby.wachezaji morali haiko juu kama pale awali.
Kama uchawi wa bagamoyo tu ulituchapa goli 2 sasa uchawi wa nigeria je??????
Mnapotoa comments zenu muwe mnajali na kuthamini haya makundi maalum, imagine kuna kiwete humu anasoma comment yako unafkiri anajiskiaje?Uwezo kwa upinzani gani?
Hivi hauoni hata aibu?
Wale viwete ni wakuwapigia hesabu kweli?
We ndio hujuiJumulisha hela ya quarter na semi final inakua sh ngapi,?
Acha siasa mkurugenzi. Hii Yanga itawatoa kimasomaso msimu huu kwenye mashindano ya kimataifa.Umechelewa kusoma, nimetolea mchanganuo swala hilo na wenzako wameelewa
Hapana mkuu..Mi dau mzuri tu sema nilikua sijiamin kabisaWe jamaa ni mamluki
yako wapi yako wapii
Pole kwa kulogaYeah ushindi ni muhimu kwa Rivers.
Hapo sawaHapana mkuu..Mi dau mzuri tu sema nilikua sijiamin kabisa