Duuuh km kweli, Morisson bas haipendi utopoloo ila pesa ndo zinamuweka hapo.Morrison hata benchi hayupo!!!!
Awali kulikuwa na tetesi kuwa amerudishwa Bongo baada ya kukutwa akiuza mbinu kwa mchezaji wa Rivers ambaye wanatoka nchi moja Ghana.
Baada ya hiyo taarifa watu wengi hatukuizingatia, lakini hiki kitendo cha yeye kutojumuishwa kwenye kikosi hata benchi asiwepo, kunaleta maswali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushaanza kuliaaa?? DooohKikosi kinachoanza leo ni shida tupu! Yaani mabeki wa kati watatu wanaanza!! Hatari sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazii ipooo.KWA SASA MPIRA WA AFRIKA BILA DAR YOUNG AFRICANS NI SAWA NA MZINGA WA NYUKI BILA ASALI HAUNA THAMANI....
GO WANAJANGWANI....
#WANANCHI [emoji169][emoji172]
TUKIMPIGA RIVERS NAJUA KINA ZUWEZA WATANUNA NA KUSEMA TEMEMPIGA KIBONDE
YOUNG AFRICA 2 RIVERS 0
FT
Morson hajawahi kuvutiwa na mazingira ya Yanga shida tu zinamsumbua.Duuuh km kweli, Morisson bas haipendi utopoloo ila pesa ndo zinamuweka hapo.
Yeah ushindi ni muhimu kwa Rivers.Leo ushindi ni muhimu
Kinatia wasiwasi ngoja tuone kocha kawaza mwenzetuKikosi kinachoanza leo ni shida tupu! Yaani mabeki wa kati watatu wanaanza!! Hatari sana.
Kwetu tunaita njemu sijui Ghana wanaiitaje?Morrison hata benchi hayupo!!!!
Awali kulikuwa na tetesi kuwa amerudishwa Bongo baada ya kukutwa akiuza mbinu kwa mchezaji wa Rivers ambaye wanatoka nchi moja Ghana.
Baada ya hiyo taarifa watu wengi hatukuizingatia, lakini hiki kitendo cha yeye kutojumuishwa kwenye kikosi hata benchi asiwepo, kunaleta maswali.
Haswaaaa yaan, niliona ile match baada ya simba kumalizika, alienda kwa wachezaji wa simba kuserereka nao, had mwenda alimparasa kichwaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Morson hajawahi kuvutiwa na mazingira ya Yanga shida tu zinamsumbua.
Yeleuwiii! πππKila la kherii mtaniiii.
Nakuombea mafanikio, uwe na furaha leo.
Si Kila jambo huwekwa hadharani me ngine ni ya ndani tu.Taarifa kama hizi zitaendelea kubakia kuwa za kufikirika tu. Kama uongozi wetu haujatolea tamko, nitakuwa mtu wa mwisho kukuamini.
Timu ina wachezaji wengi! Na wanaotakiwa kucheza hawazidi 16. Hivyo ni kawaida kuona wachezaji wengine wakikosekana.
Ona hiki kiumbe! Nani kasema analialia!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushaanza kuliaaa?? Doooh