FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Kwa hiki kikosi naweza kujikakamua nkaweka ki elfu ishirini changu, lakn mh
 
Leo yanga tunaweza tukafungwa amini usiamini ila kuchomoka na ushindi leo ni ngumu sanaaaa.

Nina was was na mentality ya wachezaji toka tupigwe na kitu kizito kwenye mechi ya derby.wachezaji morali haiko juu kama pale awali.

Kama uchawi wa bagamoyo tu ulituchapa goli 2 sasa uchawi wa nigeria je??????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Wanaija Kandeni huo mshono na maji ya motooo ufumuke....
Eee mbwai mbwai tuuu
Nyie wakutuombea mabaya kwa waidadi nyieeee basi ngoja na sisi tufanye vivyo japo maombi yenu hayakujibiwa mnasubiria ya Ijumaa..
[emoji1] [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Za ndani zinasema rivers mazoezi yao huwa wanafanyia kwenye mto

Sasa kama shuti la kwenye maji tu kipa anababuka mikono je uwanjani itakuaje?[emoji16][emoji16]


Leo naona kabisa shaolin soccer 2 inatoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mashabiki wa simba kwa ukiherehere tu, hamjambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tuliaaa, mbna unaanza kutoa chozii na hata warm up wachezaji hawajafanyaa.
 
Back
Top Bottom