FT: Ligi Kuu Bara | Azam FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa Chamazi Complex | Mei 18, 2022

Sakhooo......Ilikuwa nafasi nzuri kwa Simba SC, na imekuwa salama kwa Azam FC
 
26'

Manula anafanya save nyingine kutoka kwa dube
 
33'

Azam wanapata freekick ni nje kidogo usawa wa hatua tatu mpaka kuifikia box
 
37'

Azan wanaandika bao la kwanza la kuongoza
 
Goooooooooooooaaal gooal

Azam wanatangulia kwa bao moja kupitia kwa Kola | Azam FC 1-0 Simba SC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…