FT: Ligi Kuu Bara | Azam FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa Chamazi Complex | Mei 18, 2022

FT: Ligi Kuu Bara | Azam FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa Chamazi Complex | Mei 18, 2022

Replay za azam zinaficha matukio muhimu sana


Hapa simba alikuwa anacheza kona lakini hatukuona kwasababu ya replay yao
 
Mechi ya marafiki wa tumbo moja. Hapo hata muamala usiposoma,lazima mmoja aachiwe,mwenye ndoto za kuufukuzia ubingwa
 
Azam wanataka kupiga chenga hadi kipa ndio wafunge?
 
Back
Top Bottom