Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Itakua ndotoDaaah sasa kwa dakika hizi 5 za nhongeza zilizobaki hamuoni kadi nyekundu itaenda kutugharimu
Costal wanaweza kurudisha tatu na kuongeza
Washindwe wao kutumia fursa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua ndotoDaaah sasa kwa dakika hizi 5 za nhongeza zilizobaki hamuoni kadi nyekundu itaenda kutugharimu
Costal wanaweza kurudisha tatu na kuongeza
Washindwe wao kutumia fursa
Hapa ma kocha ndio huwa siwaelewi.Daaah sasa kwa dakika hizi 5 za nhongeza zilizobaki hamuoni kadi nyekundu itaenda kutugharimu
Costal wanaweza kurudisha tatu na kuongeza
Washindwe wao kutumia fursa
Mkuu, umeandika kwa hisia kali sana[emoji23]Tunakushukuru refarii kwa kutunyima penalty yetu halali kwa faul ya majimengi,sisi watu wa TANGA tunamuachia MUNGU.
Amina mdalaUtukufu ni kwako Mungu
Thanks God [emoji8][emoji120]
Na hapo Phiri sio straika kama Mayele, je angekuwa straika[emoji23]Mimi ni Utopolo ila nakiri Phiri ni nyoko, Mayele ni takataka tu