FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

Pamoja na yote, kocha bado namuona ana mfumo wa kipumbavu. Timu haichezi mpira inabutua butua tu. Hata kama kocha anataka mpira wa kasi, inatakiwa timu icheze mpira wa pass lakini ziwe za haraka haraka sio kubutua butua tu. Mpira unachezwa chini sio juu, wachezaji hawana mabawa kwamba watapaa.
 
Pamoja na yote, kocha bado namuona ana mfumo wa kipumbavu. Timu haichezi mpira inabutua butua tu. Hata kama kocha anataka mpira wa kasi, inatakiwa timu icheze mpira wa pass lakini ziwe za haraka haraka sio kubutua butua tu. Mpira unachezwa chini sio juu, wachezaji hawana mabawa kwamba watapaa.
Tumpe muda kocha wetu angalau mechi 5 atengeneze timu yake, kwasasa tukubaliane kwanza tutengeneze timu,sisi ubingwa tujipange mwakani


Guvu moya 😀
 
Back
Top Bottom