Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Nilikula namsikiliza sanaa nikagundua huyu hajui kukaa na timu kubwa pia kufundisha mastar nichangamotoAlikuwa anajiona bado yupo katika timu ndogo Coastal Union kumbe ni Timu Kubwa Simba SC, ndo maana alikuwa akisema hayo.
Mkuu hyperkid kumbe ulikuwa unamfuatilia sana kwenye mikutano yake na waandishi wa habari.
SawaAnashinda njaa
Hizi ndio sura halisi za Watanzania, unafiki ndio zetu hasa wakimpata mtu mpya wa zamani anaonekana hamna kitu. Kusema nawaheshimu mpinzani leo limekuwa ni kosa. Wakati kwenye mpira ni jambo la zuri na kawaida kumpa heshima mpinzani wako haudharau mechi. Huyo Mgunda anayekashifiwa ndiye aliyewapeleka hatua ya makundi CAFCL na kuifanya Simba ipiganie ubingwa huku ikiwa timu pekee yenye mtaji mkubwa wa magoli. Muwe na shukraniKocha anawapa morari sana wachezaji na mashabiki pia,si mgunda kila siku ooh dodoma ni timu nzuri tunawajua ,tunaheshimu na blabla kibao zinazojirudia
Leo tunaidhalilisha Dodoma JijiMechi ya leo ni Draw.
Simba vifaa vyetu vingi viko nje
Umelewa vibaya nduguHizi ndio sura halisi za Watanzania, unafiki ndio zetu hasa wakimpata mtu mpya wa zamani anaonekana hamna kitu. Kusema nawaheshimu mpinzani leo limekuwa ni kosa. Wakati kwenye mpira ni jambo la zuri na kawaida kumpa heshima mpinzani wako haudharau mechi. Huyo Mgunda anayekashifiwa ndiye aliyewapeleka hatua ya makundi CAFCL na kuifanya Simba ipiganie ubingwa huku ikiwa timu pekee yenye mtaji mkubwa wa magoli. Muwe na shukrani
Nadhani nimemulewa mdau kuwa Kocha Mkuu, ni vizuri kubadilika kwenye mikutano yako ya waandishi wa habari.Hizi ndio sura halisi za Watanzania, unafiki ndio zetu hasa wakimpata mtu mpya wa zamani anaonekana hamna kitu. Kusema nawaheshimu mpinzani leo limekuwa ni kosa. Wakati kwenye mpira ni jambo la zuri na kawaida kumpa heshima mpinzani wako haudharau mechi. Huyo Mgunda anayekashifiwa ndiye aliyewapeleka hatua ya makundi CAFCL na kuifanya Simba ipiganie ubingwa huku ikiwa timu pekee yenye mtaji mkubwa wa magoli. Muwe na shukrani
SIMBA forever[emoji881][emoji1054][emoji116]View attachment 2491590
Kiongozi alielewa kengeza,shida mgunda anatabia kila akiulizwa majibu yake ni yakujirudia na yasiyo ya kujiamini ndio chanzo Cha madroo na kufungwa Kwa kukosa morariNimemjibu hapo juu..! Arejee ili twenda sawa.
Huyo ni Mtanzania, Watanzania wote wakihojiwa kauli zao za utangulizi hufanana. Wachezaji na makocha wote wakibongo utasikia wakianza kwanza kwa kusema "kwanza namshukuru Mungu kwa............. Ni mazoea tuNadhani nimemulewa mdau kuwa Kocha Mkuu, ni vizuri kubadilika kwenye mikutano yako ya waandishi wa habari.
Kusema nawaheshimu wapinzani ni Neno Maarufu hutumia sana Makocha na Wachezaji, ni vizuri kutumia lakini si kila mechi kwani inaboa.
Halafu sidhani kama amemshusha Mgunda kihivyo, Tunampenda na Tunamuhitaji na amefanya mazuri Simba SC kama wengine ndo maana yupo
Penalty na Kadi Nyekundu Au Njano si katika sehemu ya mchezo wa Soka?Makolo mjue bila kupewa penati au redcad basi leo makolo mnapoteza point 2 au zote 3
Kila lakheri Dodoma jiji timu ya makao makuu ya nchi yetu tupo pamoja nanyi