FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

Kibu Dennis kamdanganya tu Robertino kwa magugu yale lakini hamna kitu...
Defence line ya Kennedy imeshindwa kuelewana... Wote ni wazito... Ni hatari kwa counter attack
 
Qattara ni fraud pale Simba Sc, ni beki mpumbavu sana ambaye sioni akiisaidia team kwa chochote.

Sawadogo ni player wa maana.
 
Back
Top Bottom