FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

FT: Ligi Kuu Bara | Dodoma Jiji FC 0-1 Simba SC | Jamhuri Stadium 22/01/2023

Ktk bench hakuna option kubwa ya sub...
Inabidi kocha aendelee tu na akina nyoni, kibu na Boko...
 
Huyu kocha akimaliza mwezi huu pale Simba niiteni Triple C Mwamba wa Lusaka nimekaa paleee
 
Mashabiki wa Simba wanaongoza ila bado wanalalamika "huu sio mpira wetu " wakati waocheza ni wao.

Lile goli wangekuwa Yanga wangesema wamenunua.
 
Mashabiki wa Simba wanaongoza ila bado wanalalamika "huu sio mpira wetu " wakati waocheza ni wao.

Lile goli wangekuwa Yanga wangesema wamenunua.
Sisi kama Simba tunamchunguza pia kipa wetu Manula lile goli vs Mbeya City,tunawasiwasi walimpa Bahasha kabisa
 
Back
Top Bottom