FT: Ligi Kuu Bara | Geita Gold FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba | Leo Mei 22, 2022

Sisi mashabiki wa Msimbazi leo tunaombea mpole apate goli ili kiatu cha ufungaji bora kisiende kwa yule wa kutetema. Hata tukifungwa goli moja kwa bila fresh tu ili mradi Mpole atikise nyavu. Scars
 
Sisi mashabiki wa Msimbazi leo tunaombea mpole apate goli ili kiatu cha ufungaji bora kisiende kwa yule wa kutetema. Hata tukifungwa goli moja kwa bila fresh tu ili mradi Mpole atikise nyavu. Scars
Sisi wanajangwani leo tunaombea Geita Gold washinde mechi ya leo ili tutatange ufalme wetu mapema kabisa kabla ya tarehe 28
 
Kikosi cha Geita Gold FC dhidi ya Simba SC
 
Sisi mashabiki wa Msimbazi leo tunaombea mpole apate goli ili kiatu cha ufungaji bora kisiende kwa yule wa kutetema. Hata tukifungwa goli moja kwa bila fresh tu ili mradi Mpole atikise nyavu. Scars
Hivi msimu wa mwaka jana mfungaji bora alikuwa nani na alikuwa ana magoli mangapi?
 
Vipi ndugu mikia,yule Mpole mlikuwa mnamuombea kila siku ampite Mayele,vp mnaendelea kumuombea hata Leo?
 
Ukisoma comment za uto utagundua pamoja na kuongoza ligi hawana furaha.
 
Jamani mwenye connection ya huyu mlkimbwende aliyekuwa ameshika tuzo hapo yule mrembo anipe....ndio type znagu hizo. Watu wa mwanza nipeni connection ya mrembo huyo
 
Naaam mpira umeanza Uwanja wa CCM Kirumba

00' Geita Gold FC 0-0 Simba SC
 
Jamani mwenye connection ya huyu mlkimbwende aliyekuwa ameshika tuzo hapo yule mrembo anipe....ndio type znagu hizo. Watu wa mwanza nipeni connection ya mrembo huyo
Una shingp?upate namba
 
Bocco magoli 16. Unataka kusemaje mkuu?
Nafananisha hapa kama miaka inavyozidi kusogea namba za magoli zinaongezeka au kupungua

Kulikua na season ambayo kagere alimaliza akiwa na goli 20+

Saizi sioni dalili za kufikia digits hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…