FT: Ligi Kuu Bara | Geita Gold FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba | Leo Mei 22, 2022

FT: Ligi Kuu Bara | Geita Gold FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba | Leo Mei 22, 2022

15' Milango bado ni migumu kwenye Dimba la Kirumba, mashambulizi ni kwa pande zote mbili

Geita Gold FC 0-0 Simba SC
 
Kikosi Cha Simba kilichoanza Leo hakina kabisa muunganiko!Simba ikishinda Kwa kikosi hiki itakuwa ngekewa!
 
Nafananisha hapa kama miaka inavyozidi kusogea namba za magoli zinaongezeka au kupungua

Kulikua na season ambayo kagere alimaliza akiwa na goli 20+

Saizi sioni dalili za kufikia digits hizo
Je unadhani kupungua kwa digits kuna ashiria nini mabeki wamekuwa imara zaidi? Ama kitu gani
 
Kikosi Cha Simba kilichoanza Leo hakina kabisa muunganiko!Simba ikishinda Kwa kikosi hiki itakuwa ngekewa!
Hii timu ina magalasa mengi sana amini nakuambia halafu haiko compact kwenye kuzuia hua inafikiwa golini kirahisi sana.sijui benchi la ufundi hua halioni hii shida.sijui wachezaji hawaelekezeki!!
 
Back
Top Bottom