FT: Ligi Kuu Bara: Kagera Sugar 1 -1 Simba SC | Kaitaba Stadium 21/12/2022

Kosa la Simba ni kukubali viongozi waliomaliza muda wao waendelee kukaa madarakani mpaka muda wa usajili wa dirisha dogo upite.
Hawa viongozi hawajui hatima Yao watataka kuwatengenezea lawama viongozi wanaokuja kwani swala la kocha lilishaongelewa muda mrefu lakini wanaridhika na Mgunda hali wanajua uwezo wake ni WA kawaida pia kocha wa makipa na viungo waliwaleta baada ya mashabiki kupiga kelele.
 
Nakubaliana na wewe,nilishangaa sana Okra kuanzia bench halafu Boko anacheza dakika 90 tena kwenye mechi ambayo timu haitengenezi nafasi nyingi za wazi za kufunga.


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
simba watafute na wao Jezi moja waizindike kwakweli
Ingekuwa jezi zikizindikikwa zinaleta matokeo basi kila jezi zingekuwa zinazindikwa. Hata Yanga wangezindika jezi zao zote za home, away na third kit ili kupata matokeo. Kuna tofauti kati ya kuzindika jezi na kuwa na jezi ya bahati.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Mbona mkishinda haya malalamiko hakunaga? Kocha anakuwa mbaya mkikosa point, mkipata Mgunda binge la kocha. Duniani kote Hakuna mpira wa hivyo eti timu ishinde tuu. Hata sisi Yanga sc tulipoteza kwa Ihefu FC Tena timu inayoburuza mkia, lakini tulikubali maana na wao walistahili hayo matokeo maana siku hiyo walideserve kushinda, vivyo hivyo nanyi Jana shukuruni mlichopata maana Kagera sugar pale kwao kaitaba mmekuwa mkipoteza hivyo shukuruni na hiyo point moja.
 
Wewe shugurika na yanga yako ya Simba tuachie wanasimba
 
Sio kwetu simba, sisi tunachojua ni ushindi hayo mengine hatuyajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…