Mechi za mikoani Azam wanafunga kamera moja afu sio ile ya kiwangoNi wakati wa TFF kuwapa Onyo Hawa Wadhamini wanao Haribu Mpira, Hii sio Quality ya Live Video ya Mwaka 2022 ni Mateso kwa Watazamaji
Bocco Goooooooooooooaaal gooal
Captain fantastic John Bocco anaweka kambani bao la kwanza akipokea pasi murua kutoka kwa Kapombe
KMC FC 0-1 Simba SC
Huyo mwanasheria wako kule jukwaa la siasa anakimbizwa na wanachademaKwani ameshatangazwa mshindi?
Atakapo tangazwa tu, nitawasiliana mara moja na mwanasheria wangu mbobevu na mwandishi nguli wa habari ndugu Pascal Mayalla, ili nione athari zitakazo jitokeza baada tu ya mimi Tate Mkuu kuhamia jukwaa la MMU.
Na kama atanisbauri niendelee kubaki huku, basi sitakuwa na namna nyingine.
Samahani we ni -ke au -mePale Kapombe kamwagisha maji. Mafundi wa 6X6 tunajua utamu wa kumwagisha maji