FT: Ligi Kuu Bara | KMC FC 1-3 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba 26/12/2022

FT: Ligi Kuu Bara | KMC FC 1-3 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba 26/12/2022

10' Mchezo unaendelea kupigwa katikati ya dimba lakini hakuna hatari yoyote kwa pande zote
 
12' Bocco anapiga kichwa hafifu ambacho hakina madhara yoyote yaani..!
 
15' [emoji460] Bocco Goooooooooooooaaal gooal

Captain fantastic John Bocco anaweka kambani bao la kwanza akipokea pasi murua kutoka kwa Kapombe

KMC FC 0-1 Simba SC
 
mashambulizi haya kipindi cha kwanza kinatakiwa kiishe hata na goli tatu.
 
Bocco Goooooooooooooaaal gooal

Captain fantastic John Bocco anaweka kambani bao la kwanza akipokea pasi murua kutoka kwa Kapombe

KMC FC 0-1 Simba SC
giphy.gif
 
Kwani ameshatangazwa mshindi?

Atakapo tangazwa tu, nitawasiliana mara moja na mwanasheria wangu mbobevu na mwandishi nguli wa habari ndugu Pascal Mayalla, ili nione athari zitakazo jitokeza baada tu ya mimi Tate Mkuu kuhamia jukwaa la MMU.

Na kama atanisbauri niendelee kubaki huku, basi sitakuwa na namna nyingine.
Huyo mwanasheria wako kule jukwaa la siasa anakimbizwa na wanachadema
 
Awesu anaonywa na mwamuzi, anamwambia hii mara ya mwisho.acha rafu
 
Sakho yupo chini akipatiwa matibabu baada ya kuchelewa faulo na Vicente
 
Back
Top Bottom