FT: Ligi Kuu Bara | KMC FC 1-3 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba 26/12/2022

Majogoro anaonyeshwa Kadi ya Njano upande wa KMC FC
 
Azam ndio wamegoma kabisa kuweka replay ya freekick ya KMC tuone ilikuwaje refa akapuliza filimbi punde tu baada ya mpira kupigwa?
Mbeleko iyo Simba kabebwa pale.. huoni manula kapiga goal kick
 
Simba inacheza mpila fulani hivi kitaa tunaita butua butua hauna mvuto kabisaa kuutazama.
Sijui washabiki wa Simba Huwa mnafurahia kitu gani kuitazama timu yenu ikicheza maana Ile sex football hakuna kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…