FT: Ligi Kuu Bara | KMC FC 1-3 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba 26/12/2022

Game iliyopita lolifungwa goli la kona kwa uzembe wa mabeki kushindwa ikijipanga. Same problem imejirudia leo kwa Mohammed Hussein kutokaa kwenye left post. Inasikitisha
Aambiwe mapema ajirekebishe
 
Mechi hii tunge sare au kupoteza binafsi ningekuwa nisha lose hope ya ubingwa

Saizi bado tuna power ya ku conquer na kuzidi kusonga mbele
Muhimu tuepuke sare au kupoteza kizembe
 
87' Wametoka Sakho na Bocco na na nafasi zao zimechukuliwa na Akpan na Kyombo

KMC FC 1-3 SIMBA SC
 
Kweli hii Simba ni ya kucheza na Yanga au Azam? Mhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…