FT: Ligi Kuu Bara | Ruvu Shooting 0-4 Simba SC | Stade de Benjamin Mkapa 19/11/2022

nyie mpira usha washinda mmebakiza lawama, haya pale Simba yupo nani maana mnafungwa kila siku na Yanga
 
Kikosi cha Simba SC kinachoanza dhidi ya Ruvu Shooting.. John Bocco akianza.
 
Sakho majeruhi?

Kama vipi mgunda ajaze viungo wengi. Lirudi soka letu. Kufunga atafunga yeyote. Asilazimishe mastriker butu. Wanaziba nafasi muhimu.
Kwa maslahi ya timu.
Jimmy, Israel, Banda, Sakho, Okwa na Kyombo hawana utimamu wa mwili kwa maana ni wachezaji majeruhi kwa Kikosi cha Simba SC..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…