FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 2-0 Kagera Sugar | Uwanja wa Mkapa | Agosti 20, 2022

Goli la mzungu limeshangiliwa sana inaonekana lilikuwa linasubiriwa kwa hamu Tanzania nzima, hata ndugu zangu wa uto naamini nao wameshangilia walikuwa wakimlilia mzungu...
Hapana,ni kwa sababu ni goli nusuduara.
 
Wanaonesha king'amuzi gani? Nataka nicheki mechi hii, kali sana
 
Yote kwa yote, Gharib Mzinga anatangaza mpira vizuri sana.

Watangazaji wengine wa Azam Tv jifunzeni.
Mkuu kwa upqnde wangu qzam hawana mtangazaji makini kama Gharib mzinga
Jamaa anawafaham wachezaj na anatangaza mpira, hana kelele kelele saut makin kabisa
Namkubal sana hata gem ya simba vs kagera nimeenjoy san jamaa kuitangaza leo
 
Mkuu kwa upqnde wangu qzam hawana mtangazaji makini kama Gharib mzinga
Jamaa anawafaham wachezaj na anatangaza mpira, hana kelele kelele saut makin kabisa
Namkubal sana hata gem ya simba vs kagera nimeenjoy san jamaa kuitangaza leo
Huyu ndie mtangazaji Bora wa boli Tanzania kwasasa..ukitaka kumuelewa subiri akianza kutajga a mechi za kimataifa..anajua wachezaji wote Tena vizuri Sana..
 
Kanoute ni injini isiyokuwa na makeke Unaweza kuifananisha Na Paul Scholes enzi zile Za Mzee Ferguson Man U, kimya kimya Lkn Wapinzani Moto Wanaupata.
Mimi namuelewa sana jamaa ana nguvu na anajiamini sana,asiuzweeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…