Na nyie si mna yule mchezaji wa ulaya ambaye mara ya mwisho mmemchukua akiwa sbc depo akiwa kama kuliHatimaye Mzungu Afunga goli Kali sana uku golini kukiwa hakuna Kipa [emoji2][emoji2][emoji2]
mambo kijibwa 😀😀😀SIMBA 1-2 KAGERA
Matokeo yasipokuwa hivyo mniite mbwa nimekaa pale. Leo kati ya kocha, wachezaji, au kiongozi wowote ataondolewa pale msimbazi.
mbwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaSIMBA 1-2 KAGERA
Matokeo yasipokuwa hivyo mniite mbwa nimekaa pale. Leo kati ya kocha, wachezaji, au kiongozi wowote ataondolewa pale msimbazi.
🇲 🇧 🇼 🇦SIMBA 1-2 KAGERA
Matokeo yasipokuwa hivyo mniite mbwa nimekaa pale. Leo kati ya kocha, wachezaji, au kiongozi wowote ataondolewa pale msimbazi.
Vladimir Putin box to box hunter [emoji41]Kanoute hapewi sifa lakini ni mzima moto mzuri sana, huwezi kumpita kizembe zembe
Hata yeye ametoka ulaya mkuuDejan Georgijevic ni Clinical Mbele ya Lango, Amefunga bao la UlayaView attachment 2329691
Hapo golini kulikua na mabeki wawili au watatu na wakashindwa kuokoa, so far golikipa kazi yake ni kua hapo golini sasa yeye alienda kuzurula wapi [emoji1][emoji1][emoji1]Yule mti
Hata yule mtingisha matiti naye leo alifunga eneo la goli ambapo kipa hakuwepo.
Kambale alifunga mechi ya pre season waliocheza na wale madogo wa kigamboniAziz Ki
Unaanza kubweka saa ngapi brother 😅😅 tujulishane mdaSIMBA 1-2 KAGERA
Matokeo yasipokuwa hivyo mniite mbwa nimekaa pale. Leo kati ya kocha, wachezaji, au kiongozi wowote ataondolewa pale msimbazi.
misumari... wanaloga sana wabongo.. hata Dejan asipoangalia Bocco atampiga msumari mmoja mtakuja kunikumbuka.. Msungu apelekwe kwa mwamposaKumbe mkude ndo alikuwa anafanya Kanoute aonekane mbovu!!!!
Noma sana.. nasema hivi mzungu apewe mafuta ya mwamposaMnaelewa ushangiliaji alioshangilia Mzungu ni wa aina gani?
Unaitwa back pack kid
Ilikuwa created na kitoto kidogo tu kinavaa begi muda wote, ni kidogo sana hata wewe umekizidi, hicho kitoto ni ki dancer.
Kimeimba wimbo unaitwa LITT
Katika soka ushangiliaji wa namna hii unashangiliwa na wachezaji wawili tu duniani
Mmoja ni Pogba na mwingine ndio huyu wa leo kwa Mkapa
Huyu anachangia mada gani?Msimu huu Yanga ubingwa ni mwanzoni mwa raundi ya pili.