FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 2-0 Kagera Sugar | Uwanja wa Mkapa | Agosti 20, 2022

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 2-0 Kagera Sugar | Uwanja wa Mkapa | Agosti 20, 2022

41' [emoji460] Phiri Goooooooooooooaaal gooal
Moses Phiri anahesabu bao la kwanza baada ya free kick iliyopigwa na Chama kugonga mwamba na Phiri kumalizia kambani.

Simba SC 1-0 Kagera Sugar
 
Hii mechi naona Simba yangu inaenda kukalia mua wa Kagera Tena lazima uzame wote.. Hawa Kagera nawajua hawana huruma walitutoboa mbele ya Rais wa chato tena tundu la kwanza kabisa
UMEZOEA MI BORO WW YANGA
 
Refa kamaliza kipindi cha kwanza kabla dakika za nyongeza hazijatimia vizuri
 
Njooni Jamani , baada Ya Lile pira Papatu Papatu huko ARUSHA..!

Sasa Karibuni kuuambia moyo pole kwa kile kilichotokea Arusha Kwa Pira Udambwi Udambwi.
 
Kati papo wazi sana...

Kagera wakitulia wanaweza kuleta shida...
 
Back
Top Bottom