FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-0 Geita Gold | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Agosti 17, 2022

Baada ya kupona majeraha ya moyo, naendelea kulisapoti Chama langu Simba sc!!!

Nimegundua Simba Sc ndo demu pekee ambaye siwezi kumwacha maishani!!!
 
Reactions: BRN
Baada ya kupona majeraha ya moyo, naendelea kulisapoti Chama langu Simba sc!!!

Lazima msako utembee vilivyo, lazima na mapambano yaendelee.. Nguvu Moja [emoji881]
 
Reactions: BRN
Kizibo hauko mwenyewe mkuu , huyo demu tunashare wengi na daima tutaishi naye hayupo moyoni tu ila damuni.

Nenda Simba kafanye iwe , sisi zetu dua
 
Reactions: BRN
Refa atawabeba leo mikia...hivyo basi mtashinda. Maana saikolojia yenu imevurugwa kabisa.
 
Hii comment inanikumbusha mbali hukooo, misimu bora ya back to back ya Mnyama wakati Gongowazi hajui kama atachukua ubingwa..!
Hakika mkuu hata hivyo ni suala la muda tu kabla ile Simba tunayoitaka haijarudi kwenye ubora wake wa kuwapa mateso wapinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…