mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuna Imani na mzunguHawa wazungu wa mchongo wanaojiita makocha siwakubali. Bora timu angeachiwa Anko Juma Mgunda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuna Imani na mzunguHawa wazungu wa mchongo wanaojiita makocha siwakubali. Bora timu angeachiwa Anko Juma Mgunda
hujuma ya nini,kocha kuna kitu kaona labda.KManina hii ni hujuma
Kahongwa na yanga huyoHaya kocha keshachanganyikiwa. unamtoa chama unamuingiza kibu?
Dah huyu kocha akimaliza msimu nipo paleeeeee....
Makocha wa kuokota hawa katikati ya safari ni shida.Uchovu wa safari nn
Bila chama hamuwe sio.Chama?seriously [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa upo,Tusubiri mechi iishe ndipo tutoe tathmini kuhusu kocha
NakaziaMgunda anataka kiti cha ukocha, kwa akili za waafrika ni ngumu kutoa full support Bali unafiki unakuw mwing na kupigana spana za chini
Mimi nilifokiri waliovaa nyeupe ndiyo simbaHaya matimu yenu ya Yanga na Simba Huwa ni kubebwa na kuhonga ndio yanashinda..
Ukiangalia Mbeya City inavyocheza unashangaa Huwa mnaenda kununua hayo machezaji na kuyalipa pesa ndefu Kwa kipi hasa?