Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibul the planner.Hii sub vipi jamani
Kapewa na mo foundation..kaleni miwa mikia fcKocha anashindwa kujiuliza kwanini Chama kapewa tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi?
Mgunda anataka kiti cha ukocha, kwa akili za waafrika ni ngumu kutoa full support Bali unafiki unakuw mwing na kupigana spana za chini
Siku moja jaribu kuangalia game ya hao mbeaya city wakicheza na ruvu shooting, ndio utajua mpira wa bongo haueleweki.Haya matimu yenu ya Yanga na Simba Huwa ni kubebwa na kuhonga ndio yanashinda..
Ukiangalia Mbeya City inavyocheza unashangaa Huwa mnaenda kununua hayo machezaji na kuyalipa pesa ndefu Kwa kipi hasa?
Kama hata mie naona.Mgunda anataka kiti cha ukocha, kwa akili za waafrika ni ngumu kutoa full support Bali unafiki unakuw mwing na kupigana spana za chinichini
Yaani sijui kwanini wanaamini wazungu sana. Mbona soka lilikuwa safi tu chini ya mgunda. Anyway ngoja tuone....Huyu atafukuzwa mechi ya tatu tu. Hawa wazungu tuachane nao.
Kocha timu ishamshinda analeta yale ya amunike ujuaji mwingi.
Huyu kocha akifanya vibaya binafsi nita confirm pale kuna uchawi na hujuma. Tumepata kocha aliyefanikiwa kila alipofundisha! Kwanini afeli Simba? Tuache ushabiki tuamini benchi la ufundi la wachezaji. Game haijaisha hiiHuyu kocha hamalizi msimu. Wangemuachia mgunda timu amalize msimu.
Mhh Mgunda namuona anamwangilia huyu kocha robetinyo kwa jicho fulani hivi