FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

Kocha yoyote anayekuja Simba anatakiwa ajue kama Chama haingii kwenye mfumo wake, basi yeye aingie kwenye mfumo wa Chama.
Badae Uzi WA kumuelezea chama uanzishwe maana sio Kwa misifa hio anayopewa,
Mzuri ila sio Kwa kila comment chamachama utafkir yy pekeake ypo uwanjani alaah,
 
Mtangazaji wa AZAM....anakosa weledi wa kuelezea mechi kiufundi...
Anaongea tu kwa upepo wa kishabiki...
Baraka Mpenja..
 
Kocha kagundua kiungo wetu mwenye spidi ya konokono hana msaada kwenye game ya leo
 
Huwezi kuleta kocha katikati ya msimu. Aanze falsafa mpya. Wachezaji waizoee. Mgunda wachezaji walitulia na timu ilicheza vizuri. Huyu kipindi Cha kwanza sub mbili. Hasara juu ya hasara.
Kama mchezaji hafai anapaka rangi, atoke Kwa nn maana ya Sub's, 😲
 
Huwezi kuleta kocha katikati ya msimu. Aanze falsafa mpya. Wachezaji waizoee. Mgunda wachezaji walitulia na timu ilicheza vizuri. Huyu kipindi Cha kwanza sub mbili. Hasara juu ya hasara.
Ameshaaigawa timu tayari
 
Kumbe tunamtegemea Chama kama kamungu ketu kadogo, kama akiumia itakuaje?
Ajabu sana, Mesi mwenyewe anatolewa! Siku hizi mpira wa kisasa ni mifumo sio mtu! Mfano tunao hapa hapa kwa Nabi!

Utashangaa ikitokea tumepoteza wimbo utakuwa chama!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…