Tufurahie ushindi kaka pressure imeshukaMashabiki vipi? Mko upande gani baada ya 3-1
Chama angekuwepo muda huu tuna 5 mkobani.[emoji2][emoji2][emoji2]🥲[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]🥲[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
This is Simba SC, not this is Chama SC!..
Kileleni mwa msimamo. Weye kolo ukwap?Mbona Kimya....Uto Mko Wapi?
Hii comment yangu ya mapemaaa, katoka Chama kaingia Kibu na maisha yanaendelea tu kwa upande wetu..Hii timu siku sio nyingi kocha mzungu atachanganyikiwa, hatajua amuanzishe nani, ngoja hizi mashine zote zikae sawa..
I wish ningekuwa na game mbili na uto nichukue pointi zangu 6..
Tunakupumulia nyuma mkuu [emoji1787]Kileleni mwa msimamo. Weye kolo ukwap?
We bwege unasemaje?Mbumbumbu bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya yalikuwa maneno yako pia[emoji116]View attachment 2486458
Mkuu ulikua wap hubadili Avatar before matokeo.Sakho amepigwa ngumi
Ni straight red, sip njano
Kumchezea mtu faulo kutokea nyuma ni kadiSasa huyu refa naye amezidisha kadi sasa mpaka mechi imekisa mvuto
Ndio Sakho alichezewa fouo ila si angeipotezea tu ana kuweka freekick?
Au ndio kusema anakataa ile falsafa ya kubalansi?
Polee [emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha najuta.
Sio udambwi tu. Jamaa ana akili sana ya mpira. Huyu, Saidoo na Sakho.Ila Chama ni lazima awepo jamani kuleta udambwi dambwi
Yaniiiiiii nilihama channel nawasha nakuta goli 3 kelele nilizopiga nadhani majirani watanisamehe
Hiyo ndo kazi ya Bahasha waliotoa viongozi wenu wanaogombea uenyekitiSasa huyu refa naye amezidisha kadi sasa mpaka mechi imekisa mvuto
Ndio Sakho alichezewa fouo ila si angeipotezea tu ana kuweka freekick?
Au ndio kusema anakataa ile falsafa ya kubalansi?