The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Hola, hablás español?¿No quieres un regalo?
Kuna dalili hata makosa ya Manula akatupiwa kocha, hawajui uzembe wa Manula umesababisha timu ijihami kulinda goli moja lililobaki..Huyu Manula atafutiwe changamoto hapo golini, ikiwezekana apigwe benchi hata game 5 hivi bila sababu ili akili zikae sawa, magoli mengi anafungwa ya kijinga tu maana amekuwa na papara sana.
Wivu unakusumbua topoloHayo magoli yamewapeleka makolo mpaka nafasi ya kwanza katika ligi
Tuliza kisabengoNi kama vile dubai zilienda kutupwa pesa tu, au nasema uwongo ndugu zangu?
Yani mpaka watu wachezaji wanapoteza muda. Aisee.Sisi ni wakuomba mpira uishe kweli?
Manula tumemsema na si mara ya kwanza, hii ni mara ya pili tena mfululizoKuna dalili hata makosa ya Manula akatupiwa kocha, hawajui uzembe wa Manula umesababisha timu ijihami kulinda goli moja lililobaki..
Umeniwahi...impact ya Dubai wataijua soonTuliza kisabengo
Leo tulikuwa kwenye kiwango kibovu sana yani hata Yanga haijawahi kucheza hiviYani mpaka watu wachezaji wanapoteza muda. Aisee.
Hiyo timu inayoongoza ligi ndo naionea wivu sana maana ina miezi zaidi ya 3 haijashuka hata kidogoWivu unakusumbua topolo
Makapu ya magoli...Simba noumaaaa raha yetu ni hyooo tuuHiyo timu inayoongoza ligi ndo naionea wivu sana maana ina miezi zaidi ya 3 haijashuka hata kidogo
Yo hablo ese idiomaHola, hablás español?
Kwenye uwanja wa Mkapa huo huo Simba ilishawahi kuwa pungufu tena ikicheza na weweMalizia kwa timu iliyo pungufu tena uwanja wa Mkapa
Pira Dubai ndo limetandazwa leo sasaLeo tulikuwa kwenye kiwango kibovu sana yani hata Yanga haijawahi kucheza hivi
Sisi raha yetu goli moja tu ila point 3 na bado tupo kileleni tunapepea tuMakapu ya magoli...Simba noumaaaa raha yetu ni hyooo tuu