MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Watazoea, tumeshinda mengine tutoe muda tu.Imechoka wapi kocha kaja na mfumo wake kazi ipo kwenye kwenda Sambamba na mfumo wake.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watazoea, tumeshinda mengine tutoe muda tu.Imechoka wapi kocha kaja na mfumo wake kazi ipo kwenye kwenda Sambamba na mfumo wake.
Kule hakuna anaemsema sema hovyo na maneno ya shombo,akija huku mnapopoa sana na mijineno yenu inamuaffect mentallySijui wale Moscow aliwafungaje
Mgunda alisema kule Zenj kuwa sote tumeona why baadhi ya wachezaji wako benchi (akiwemo Kibu na Kyombo).Huyu Rasta mvuta bangi hajui kucheza mpira kabisa
Sijawahi kuona mchezaji wa hovyo kuwahi kuchezea Simba
Usihangaike na kuwajibu hao watu wa utopolo wanaojifanya wanyama!Imechoka wapi kocha kaja na mfumo wake kazi ipo kwenye kwenda Sambamba na mfumo wake.
Sure very sureKule hakuna anaemsema sema hovyo na maneno ya shombo,akija huku mnapopoa sana na mijineno yenu inamuaffect mentally
¿No quieres un regalo?Dèjame
Punguza kucheka cheka au wewe demu?Nikiucheki ule Uzi wako wa kuwalinganisha kibu na mayele .nabaki 😂😂
Hiyo kawaida yenu mkuu yangaNaona wenzetu kwenu safi
TunGefanya yanga tungeambiwa bahasha imetembea
Usijifariji hapa Bantu Lady njoo umuone best ako hapa anajipozaTwende mbele na kurudii rivasi magoli ya antibayotike na Sakho daaaaaah ni magoli ya kimataifa...
Tufanye mbeya city 3 sisi 2 kwa magoli ya kishujaa