FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

Hivi wamerud sangap frm dubenga?,wakapumzika sangapi?
Uchovu sio poa aloo
 
Hatuna kocha heri mara mia ya mgunda anajua kupanga kikosi na sub zake zimesimama
 
Huyu Manula atafutiwe changamoto hapo golini, ikiwezekana apigwe benchi hata game 5 hivi bila sababu ili akili zikae sawa, magoli mengi anafungwa ya kijinga tu maana amekuwa na papara sana.
 
Kibu ajaribu Golf maswala ya mpira hata kuwa mshabiki tu haumfai
Kyombo naye kakosa goli la wazi katika mazingira yale yale aliyokosa kwenye mechi ya Derby
 
Back
Top Bottom