FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

13''Goooooooooooooaaal gooal

Mbeya City wanachomoa kupitia kwa Richardson

SIMBA SC 1-1 MBEYA CITY
 
Mbeya City wanacheza vizuri kuliko Simba. Walistahili kupata goli kabla hata ya Simba
 
Kapombe baada ya kupinduliwa na kufinywa kaamua amuumize dogo.

Gemu yenu mnashinda hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…