DAEMUSHIN
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,428
- 120,464
Sasa nimekuelewa....Sasa si ndiyo maana unaona hayo ma assist, na pia magoli!!
Bila ya uwepo wa chama no goal, no assist kwa simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nimekuelewa....Sasa si ndiyo maana unaona hayo ma assist, na pia magoli!!
Mawazo hayo ya kocha mpya, mnabidi wawe wavumilivu.Boko + Kyombo hapa nimeona shida ipo.
Kwanini Sakho asianze?
Nini tena!! Muwe mna tupa updates. Sisi wengine huwa hatuangalii mechi za viporo.Dubaaaaiiiiiiiiiiii….!!! Hahahahahaha
Ni mbeyaNini tena!! Muwe mna tupa updates. Sisi wengine huwa hatuangalii mechi za viporo.
Dubai fc kaongeza goli!!
I hope second watabadilikaKwa mpira wanaocheza simba leo watafungwa 3-1