SawaPrisons wanacheza utafikiri hawako pungufu.
Rudia kusoma tuoneHivi PRISON waliahidiwa wakishinda wanapewa milioni 30 au wakishinda ndio wanapewa milioni 30?
Wewe Uto How many days in a weekWametembeza bahasha hii mechi kwa refa alafu sharti wakampa refa kuwa atoe kadi nyekundu ili washinde goli nyingi tusione palipovujaπ€£π€£
Alipoachwa mliwahi kuifunga hiyo Yanga?? Upinde bhana sijui mnachanganyikiwa na nini.Yanga kulikuwa kuna huyu Feisal, Farid Mussa na Saido
Hawa watu nilikuwa nawakubali sana
Yanga kumuacha Saido nilifurahi sana kwa maana walikuwa wanatuweka kwenye wakati mgumu siku ambayo tukikutana
Leo yupo Msimbazi na anazidi kuwa prove wrong critics waliombeza kwa kigezo cha umri
Hattrick na Assist sio jambo la kitoto
Wewe Uto How many days in a week
Azam tunashindana naye kumpata free agent Feisal, sio hiyo nafasi πππZitawasaidia kupata nafas ya pili maana mshindani wako Azam mnakimbizana point
Wewe Uto How many days in a week
Mtaongea sana ila rohoni mnaumia na ushindi wa SimbaNa bado wanashangilia eti! [emoji2][emoji2]Yaani wamesahau tabu zao zote wanazopitia.
Singida wakapiga 4 baada ya Mwigulu kutoa maelekezoUtopolo wanaumia mno. Ushindi mkubwa kwao ni 2-1
Mpo nafasi ya ngapi katika ligi baada ya ushindi mnono wa kununua wa leo?Wewe Uto How many days in a week