FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

Huu Uzi ndio nauona saa hizi..ila poa..naanza ukurasa wa kwanza..hivi ule utaratibu wa kututag sisi wadau wako uliacha@Ghazwat
Ule utaratibu ni kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF, na kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye mchezo dhidi ya Yanga, Azam FC.

BRN
 
Back
Top Bottom