Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Njiwa?Nikweli imerogwa msimu huu wa sikukuu hata juzi sikuipata,ila ndege zipo pia😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njiwa?Nikweli imerogwa msimu huu wa sikukuu hata juzi sikuipata,ila ndege zipo pia😀
Kunguru mweusiNjiwa?
Wasamehewe tu mkuuWakishinda wengine bahasha, Jezi nyeusi, refa kawabeba
Si hatuwachagulii njia cha msingi mfike tuKunguru mweusi
Kwa hiyo tusiwe tunasema hata kama kweli magoli yasio ya halali yanapatikana?Wakishinda wengine bahasha, Jezi nyeusi, refa kawabeba
Sio swalaBado na penati unataka. Aisee.
Bila red card au kupewa penati ushindi wenu ni kama gari la mkaa
Hata washinde goli 100! Wasahau kuongoza ligi, au kuchukua ubingwa kwa miaka 10 mfululizo.
Huu ni mwaka wa 2 tu. Bado miaka mingine 8 ya maumivu. Watabadilisha makocha wote, lakini haitasaidia kitu. Wataambulia tu furaha ya muda mfupi.
Ni kweli sakho kapgwa buti ndani ya box refa tuta la waz refa kaacha alishachukua chakeBaada ya red card, hii mechi ilishanunuliwa mapema tu refa alishachukua chake
Kwani wale ndugu zako waliwezaje kujirekodi wakicheza uchi huku wamevaa jezi zenu pendwa wakilambana vinyeo?Malezi ni kitu cha msingi sana! mambo ya uchi yamefikaje hapa? grow up
Tupe statistic za huko CAF mpaka sasa top scorer ni nani we mcheza uchi fc?Wee Nyambwambwa Kama Hayahesabiki Mbona Walitoka?
Kama timu yako aijawai kufungwa 6 na Simba pita hukuBaada ya kuinunua mechi
Ndiyo ubingwa wenu huo si tunaenda picnic tuSi hatuwachagulii njia cha msingi mfike tu
Kawaulize maana mnafanana akili thread nzima unaongea upumbavu tu unatofauti gani na hao ? huwezi jadili mpira umeng'ang'nia vitu vya kijinga mbona wenzako ni wastarabu au kuongea pumba ndio unaonekana mjanja?Kwani wale ndugu zako waliwezaje kujirekodi wakicheza uchi huku wamevaa jezi zenu pendwa wakilambana vinyeo?
Sasa ile penati dhidi ya geota wewe unaona hamna hela pale kwa refa?Wakishinda wengine bahasha, Jezi nyeusi, refa kawabeba
Mkimaliza mkumbuke gap ni point 6