FT: Ligi Kuu Bara | Tanzania Prisons 1-0 Simba SC | Uwanja wa Sokoine | Juni 26, 2022

Kichuya ni motoo, amefunga mabao matatu (hat-trick) dhidi ya Mtibwa

Hat-trick ni mgumu sana msimu huu

FT: Mtibwa Sugar 2-4 Namungo FC
 
28' Tunaendelea kupambana kusaka ushindi | Simba SC 0-0 Prisons
 
40 Inapigwa Free Kick kuelekea Prisons, anakwenda kupiga Banda

Anapiga shutii lakini golikipa anasafiri na kupangua na kuwa Kona ambayo haikuzaa bao | Prisons 0-0 Simba SC
 
Kakolanya anafanya balaa tena anaokoa hatari ambayo almanusura Prisons wapate bao.

45+2' kuelekea kuwa mapumziko kwenye Dimba la Sokoine ambapo hakuna timu imeona lango

HT: Prisons 0-0 Simba SC
 
Simba watashinda kweli kwa uchezaji huu?
Kila mmoja ana nafasi ya kushinda lakini mpira ni dakika 90 za mchezo kuamua, hivi ni vita vya vijana 12 uwanjani.
 
Kichuya ni motoo, amefunga mabao matatu (hat-trick) dhidi ya Mtibwa

Hat-trick ni mgumu sana msimu huu

FT: Mtibwa Sugar 2-4 Namungo FC
Yuko on fire haya ngoja tuone kama ataitwa timu ya taifa
 
msimu huu nje ya kwa Mkapa Simba inapata tabu sana kushinda.ili nimpe credit Madiola"Veron"awapasue watu nje ya Lupaso kama mechi tatu hivi ndo ntampa vyeo.
 
Peter Banda amenipigia Free Kick mbili matata sana lau kama si uimara wa golikipa, Simba SC ingekuwa mbele.

Kijana anakuja vizuri sana
 
Naaam kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Sokoine

47' Asukile anakosa nafasi nzuri ya kufunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…