FT: Ligi Kuu Bara | Tanzania Prisons 1-0 Simba SC | Uwanja wa Sokoine | Juni 26, 2022

FT: Ligi Kuu Bara | Tanzania Prisons 1-0 Simba SC | Uwanja wa Sokoine | Juni 26, 2022

Simba haijawahi kufurukuta achezapo na Tanzania Prisons away. Huu ndiyo ukweli mchungu. Hata msimu uliopita, ilifungwa kule Sumbawanga.
 
Wachambuzi wanaotaka Matola apewe Timu tunataka kusikia maoni yao leo..!

changaule
 
Back
Top Bottom