Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Nyumbani kwa Feitoto mtaa wa KirumbaCCM walikuwa na mkutano maeneo gani?
Halafu hizo ni Screws za andikaWadhamini wa Ligi Kuu, TFF na Bodi ya Ligi, msimu ujao madudu kama haya hayafai kuwepo.
View attachment 2272916
Nataka mechi imalizike ikiwa hivi ili Kumnusuru prison aweze kusalia msimu ujao53' Asukile Goooooooooooooaaal
Prisons wanapata bao la kwanza baada ya mpira uliokolewa na Beno kumkuta mfungaji
Prisons 1-0 Simba SC
Hatumwagilii moyo leoNataka mechi imalizike ikiwa hivi ili Kumnusuru prison aweze kusalia msimu ujao
Onyango ndo mtu wa mwisho leo"Mkoba"Yani Simba bado tunabaki na Onyango aisee!!!
Sio Matola Simba inapata wakati mgumu sana nje ya Kwa Makapa.Matola hizi ndio nafasi za kuosha jina sasa
Lakini inaonekana na wewe ni mzigo tu hapo simba
Likija benchi jipya itafutiwe kazi nyingine
Ah jamani sii juzi tuu mlikuwa mnasema matola apewe timu, sasa yamekuwa haya🤣🤣🤣🤣🤣Matola hizi ndio nafasi za kuosha jina sasa
Lakini inaonekana na wewe ni mzigo tu hapo simba
Likija benchi jipya itafutiwe kazi nyingine
Simba kauza mechiMatola hizi ndio nafasi za kuosha jina sasa
Lakini inaonekana na wewe ni mzigo tu hapo simba
Likija benchi jipya itafutiwe kazi nyingine