FT: Ligi Kuu Bara | Tanzania Prisons 1-0 Simba SC | Uwanja wa Sokoine | Juni 26, 2022

Kwa hiyo simba amefikia dau kwa wajela jela, wakaamua kuuza mechi! Yaani simba ya Matola ni ya kufungwa na timu kama Tanzania Prisons kweli!

Halafu wanakubali kufungwa siku ambayo watani zetu wanasherehekea ubingwa wao kweli! Yaani wachezaji wameamua kutuumiza kweli! Sisi mashabiki kweli!! πŸ₯΅
 
Stress jamani, muwahurumie tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…