FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

Nacholaumu kwann mgunda hakumtoa mkude na kumuingiza akpan kipindi cha pili

Mana mkude alichoka kabisa ,timu ilizidiwa katikati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…