Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Acha kulala na kuota mchana😄Mnyama mkali Simba Sc tafuna tafuna hao Mbeya City.
SIMBA NGUVU MOJA
SiMBA BINGWA NBCPL 2022/2023
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kulala na kuota mchana😄Mnyama mkali Simba Sc tafuna tafuna hao Mbeya City.
SIMBA NGUVU MOJA
SiMBA BINGWA NBCPL 2022/2023
Unajisikiaje huko uliko?? Halafu goli la SImba boko alikuwa offside maana alikuwa na athari kwenye goli. Kitendo cha kuuruka mpira na maana yake umeleta athari kwenye goliMbeya city 0 simba 2
AISEE KUMBE NDO IVYO IYO KITU TUACHE MARA MOJA,ITATUSHUSHA DARAJANgada
Pole sana mtani ndio mpira huoMmeshashiba mihogo sasa mnapumuaa
Ndio maana walikua wanatembea kama mateja badala ya kukimbiza mpira [emoji1]Hawajaanza, ila wanaendelea
Dada CEO kaambiwa na Mwamedi abane matumizi, ndo maana sajiri zimekua za bei rahisi.Management na bodi ya Simba wanaishi kilaghai. Msimu wa pili wanafanya usajili mbovu usio na macho! Wanapata udhamini wanasajili akina Akpan UJINGA!!
Hakuna cha pole wala ndiyo mpira..!!! HawajuiPole sana mtani ndio mpira huo
Pole sana we kolo..Nakupenda Simba yangu nahakika kuna kitu mtafanya hapo mbele kurekebisha timu. Vivaaa Simbaa vivaaa
Nakuunga mkono hoja .......Tatizo la simba sio kocha ni ubovu wa wachezaji, tusimuonee kocha hata kidogo
Kinyonge sanaPoint 1 kibindoni. Ni bora kuliko kukosa kabisa.
Shida yenu mnawategemea akina nusu chuma, na akina bocco waokoe jahazi 😄Mkuu;. Uko sahihi kabisa , tatizo Simba no uongozi. Sajili gani hizi wanafanya.
Haaa haaa haaa mkuu waonee huruma hali yao mbaya ujueHakuna cha pole wala ndiyo mpira..!!! Hawajui
Asilimia 80 ya wachezaji inabidi waondokeNakuunga mkono hoja .......
Tuna baadhi ya wachezaji ni wa kawaida or quality Yao imepungua Sana na inatosha Kwa sasa waruhusiwe Tu.