FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

Mbeya city 0 simba 2
Unajisikiaje huko uliko?? Halafu goli la SImba boko alikuwa offside maana alikuwa na athari kwenye goli. Kitendo cha kuuruka mpira na maana yake umeleta athari kwenye goli
 
Management na bodi ya Simba wanaishi kilaghai. Msimu wa pili wanafanya usajili mbovu usio na macho! Wanapata udhamini wanasajili akina Akpan UJINGA!!
Dada CEO kaambiwa na Mwamedi abane matumizi, ndo maana sajiri zimekua za bei rahisi.
 
Back
Top Bottom