Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nguvu imehamishiwa kwenye ndondiSasa hivi Moo anameza pariki nzima-nzima bila kutafuna.
Oyaaa [emoji28][emoji28][emoji28]
Mo amewatenga sana Ngada FcNguvu imehamishiwa kwenye ndondi
Sasa pole ya nini jameniAisee pole ndugu
Walikuwa wanamrushia jumba bovu Matola kuwa ndie anaepanga timu na anaefanya subs.Nilisema hapo juu. Benchi la ufundi la Simba lina tatizo kubwa inapokuja kwenye kusoma mchezo na kufanya sub.
Hawezi kuandika kitu leo kwa hasira zilivyomjaa.Nasubiri manyuzi mengi kutoka kwa popoma
Tumchukue Mwinyi Zahera, atatusaidia.Kocha hana plan B, hajui kufanya hata tactical adjustments kuendana na wachezaji alionao, ni mbovu msimtetee hii Simba itamaliza nafasi ya tano kwa huu mwendo.
Anyang'anywe uraia. Ili wapate uchungu wa kufuga raia wa kigeni waweze kumtema kiurahisi bila kumuonea aibu.Kwani huyu Kibu kwanini asifungiwe tu.
Simba sio mbaya kiviile. Kinachotuponza ni kutaka kijimwambafy kwa Uto wakati si saizi yetu.Tuseme ukweli tu ni wakati sasa wa kusafisha kikosi, simba sisi wachezaji hatuna
Hapana kabwili ndo kaacha mzigo simba maana kabwili alisema simba wapo wenzake saba kawaacha nahisi kibu denis hakosi ila unga kazi ya kiume ila ile ya kabwili ngoja niishie hapo.Au muharami (kocha wetu wa makipa) hakumuachia manula mzigo wa kutosha.
Hicho ndicho mlicho bakishaHapana kabwili ndo kaacha mzigo simba maana kabwili alisema simba wapo wenzake saba kawaacha nahisi kibu denis hakosi ila unga kazi ya kiume ila ile ya kabwili ngoja niishie hapo.
Simba sio mbaya kiviile. Kinachotuponza ni kutaka kijimwambafy kwa Uto wakati si saizi yetu.
Tumeshazoea kuweka dharau ya kuwaona underdog kwetu ndicho kinacho tuumiza.
Ahahahaha ndagaa fc wanajidanganya sana timu nzima ile ni ya kufutwaa abki manula na moses phiri
Goli la Mbeya City hakuna aliyeruka mpira. Yule mchezji mpira umepita pembeni yake..!! La simba bwana Boko aliruka na mpira ukampita kama tobo hivyo kuleta athari kwenye goli huku akiwa offside..!!Sasa kwanini haulizungumzii goli la mbeya city ambalo lilikuwa hivyohivyo?
Simba mbabe akiwa Mkapa.