Kwa hiyo Yanga next week ikiifunga Ihefu itakuwa imepiga bomu mochwari sio? Au umesahau kuwa mnakuja Mbeya kucheza na Ihefu?Kuna watu wamepiga Bomu mochwari halafu wanajisifu wameua.. Kwa taarifa yenu ni kuwa police ipo mkiani mwa ligi pamoja na ihefu
Chama leo kacheza kila eneo kasoro golikipa tu
Na iyo mechi itakuwa ni ya ihefu au ruvu au Mtibwa wakiwa pungufu wachezaji wawili.. mchezaji slow km konokono hawezi soka la ushindanikati ya mechi 7+ chama alionekana mechi 1 tu. huyu hizi ndo mechi zake
Utashangazwa topolo weweUkapimwe mkojo..
Labda maajabu yawe yameisha duniani.. Hivi huo ujasili wa kusema Simba inachukua kombe unautoa wapi we kolo?? Huoni timu zote ulizodondosha point Simba, Yanga amechukua point? Anza na Kmc, Azam, singida big stars na mbeya city.. halafu hakuna timu ambayo Yanga amedondosha point we ukachukua..Utashangazwa topolo wewe
Kisila Tusila anakimbia sana....lakini ni bure. Mpira ni akili. Angalia wachezaji wenye assist. Linganisha tusila kisinda na chama. Mpira ungekuwa mbio kenya wangekuwa mbali sana maana wanariadha wengi wanatoka kenya na ethiopia. Mpira ni akili na mimi zamani nlikuwa kama wewe...nlidhani mbio zangu zingenisaidia. Wakaniambia niache upumbavu niwe natumia akili. Nikajifunza. Sasa miaka 48 ndo naelewa mpira ni akili.Na iyo mechi itakuwa ni ya ihefu au ruvu au Mtibwa wakiwa pungufu wachezaji wawili.. mchezaji slow km konokono hawezi soka la ushindan
ndo mechi zake, huwez mwona anatamba mechi kubwa kama ya yanga
Kuna watu wamepiga Bomu mochwari halafu wanajisifu wameua.. Kwa taarifa yenu ni kuwa police ipo mkiani mwa ligi pamoja na ihe
Nimekueleza utashangazwa Topolo weweLabda maajabu yawe yameisha duniani.. Hivi huo ujasili wa kusema Simba inachukua kombe unautoa wapi we kolo?? Huoni timu zote ulizodondosha point Simba, Yanga amechukua point? Anza na Kmc, Azam, singida big stars na mbeya city.. halafu hakuna timu ambayo Yanga amedondosha point we ukachukua..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mawazo ya wala ndaga ndio haya sasaKwa spidi hii golden boot inaenda kwa Phiri.. akifuatiwa na Bocco
Game ya Yanga na Polisi niliangalia, Yanga alishinda kwa mbinde na kwa sababu Polisi walikosa umakini. Ila uko sahihi, Polisi ni timu ya kawaida.Kuna watu wamepiga Bomu mochwari halafu wanajisifu wameua.. Kwa taarifa yenu ni kuwa police ipo mkiani mwa ligi pamoja na ihefu
mkuu hii aliteleza ama we waona alimpiga chenga
Ndio maana nimesema soka la ushindani.. unajua kwanini hawiki au hawezi kwenda kucheza timu kubwa barani AFRIKA? Au kwanini aliflop huko kwenye ligi zilizoenda shule??Kisila Tusila anakimbia sana....lakini ni bure. Mpira ni akili. Angalia wachezaji wenye assist. Linganisha tusila kisinda na chama. Mpira ungekuwa mbio kenya wangekuwa mbali sana maana wanariadha wengi wanatoka kenya na ethiopia. Mpira ni akili na mimi zamani nlikuwa kama wewe...nlidhani mbio zangu zingenisaidia. Wakaniambia niache upumbavu niwe natumia akili. Nikajifunza. Sasa miaka 48 ndo naelewa mpira ni akili.
mkuu hii aliteleza ama we waona alimpiga chenga
Ile ilikuwa ni game ya kwanza ya ligi ambapo kila timu Huwa na energy ya kutosha tofauti na leo. Pia uwanja wa sheikh Amri Abeid haukuwa mzuri Kwa Yanga kutembeza boli, tofauti na leo Simba liko vizuri sana japo huoni Simba kama wanajua kutembeza boliGame ya Yanga na Polisi niliangalia, Yanga alishinda kwa mbinde na kwa sababu Polisi walikosa umakini. Ila uko sahihi, Polisi ni timu ya kawaida.
Hiyo sio Alteza wala ISTmkuu hii aliteleza ama we waona alimpiga chenga