FT: Ligi Kuu Tanzania Bara: Yanga 1- 0 Geita Gold

Mzee wabishana mpaka ufe unaandika article then pumba tupu,msimu huu utapata tabu sana wenzako waelevu washajua,Yanga iko vizuri sekta zote na watu wa fitna wamerudi,mmeanza kulalamika first game kule mara,na dom mmelalamika vuta picha kama miaka 4 nyuma mlikua kwenye hali hiyo mwanzoni tu mwa ligi,utaumia sana msimu sana huu yan ngoma ndio kwanza bado mbichi
 
"Foward Ever Backward Never".

Kuna MWIKO wa mapishi umeuona hapo?

Kuna neno, "BUTTOCKS" umeliona hapo!?!!
Hiyo "forward never backward ever" umeitoa wapi??
Mi nachojua Ni forward ever a spatula is in our behinds...Na Kila mtu anajua behind Ni tafsida ya butt
 
Usitegemee majibu hapa watapita kama Hawaoni vile.
 
Kuna tatizo nafikiri ninla kisaikolojia zaidi straikers wakifika goloni utulivu unakúahakuna,

On target 6
Offtarget 11
Corner 4
Total. 21

Amihojiwa na Azam kocha Nab amesema watahamia Arusha kwenda kujifua zaidi kuondoa hii changamoto, kwenye haya mapumziko timu zikiwa kwenye national team
 
Ukitaka kujua timu bora iangalie kimataifa, sasa hapa ndani mnatumia nguvu nyingi kuhonga na ahadi kemkem ili Simba afungwe hivi huo ni mpira au jihadi. Vitimu vidogo voboooooooovu vitaishia ligi ya ndani tu labda mpate mbeleko kutoka Simba kimataifa
 
Nawahakikishieni wanayanga timu yetu ni bora sana, bakuna timu ilio bora kwa sasa kama Yanga, haipo ni mambo machache sana pale mbele ya kuweka sawa tena ni issue ya kisaikolojia ya wachezaji tu
 
Nyie wazuri sisi wabovu mna point ngapi?
point ndio nini?

Kwani kipi cha ajabu? Ni mara yenu ya kwanza kuongoza ligi kwa kuizidi simba point?

Mmmesahau mwaka jana mliongoza ligi kwa kua unbeaten still kombe hamkupata?

Na ndo hivyo hivyo itakavyokua kwa msimu huu
 
Yacouba anatakiwa awe anaanzia benchi! Awe anaingizwa dakika ya 60 hadi ya 70 ya mchezo! Jana tena kakosa magoli mengi sana!
 
Kwa kiwango cha timu yako hiki [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmmhhhmmmmmmmmm hamna maajabu ni kile kile cha miaka 4 iliyopita hakuna maajabu
Simba hebu acheni utovu wa nidhamu, kwa sasa tunabishana na walio na points sita,nyie tulieni kwanza. Wewe umepata ushindi wa goli moja tena timu pinzani ikiwa na upungufu wa mchezaji mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…