ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Aishi miaka mingi mzee RagePhiri hajacheza zaidi ya miezi miwili, akirudi akicheza game mbili tu anamuacha Mayele. Mna bahati tumewaachia Mayele apambane na wachezaji wapya kina Baleke.
Ukishapiga dana dana kinachofata niniTulizeni mpira mmeshashinda bana, pigeni danadana, eeeh
Unajua Rage na Karia wana undugu?Aishi miaka mingi mzee Rage
Sasa hivi kesi ya Manula na Diara imeisha mmehamia huku [emoji23][emoji23] mwisho wa msimu mtarudi kwenye wimbo wenu wa bahashaPhiri hajacheza zaidi ya miezi miwili, akirudi akicheza game mbili tu anamuacha Mayele. Mna bahati tumewaachia Mayele apambane na wachezaji wapya kina Baleke.
Burudani safiiiUkishapiga dana dana kinachofata nini
Wananchi (Yanga FC) tunaachaje kunenepa kwa jinsi Makolokolo Mbumbumbu Makelele Malalamiko Kolowizards Mikia Ngada kama huyu anavyoteseka hivi? [emoji28]Timu inadhaminiwa na gsm halafu unajizima data unaifanya Simba B ili usifiwe ukiifunga sio?
Timu yenu mbovu ni vile inabebwa sana na waamuzi.Mchezaji wenu akijiangusha tu mnapewa faulo.
Hadi dk ya 43 yanga wameshindwa kulenga goli
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Tuliosoma chini ya mwembe tumekuelewa [emoji847]Yaani hawa na Azam wanatubaniaga sana na mara nyingi huwaga tunachezaga na timu mbili.
Mnasemaga oooh Azam tawi la Simba, mbona wameifunga Simba na wakashangilia kweri kweri? Tena wakati Simba anazihitaji sana point 3Yaani hawa na Azam wanatubaniaga sana na mara nyingi huwaga tunachezaga na timu mbili.
Imewasaidiaje kupunguza gap la point 6?Burudani safiii
Makolokolo hoyeeee...[emoji4]Pengo la feitoto lipo sana na leo Yanga wakija ovyo wanapigwa
Misimu sita Azam hajawahi kukufunga ww, juzi hapa kaona kabisa aibu. Halafu boss mwenyewe anakadi ya Simba.Mnasemaga oooh Azam tawi la Simba, mbona wameifunga Simba na wakashangilia kweri kweri? Tena wakati Simba anazihitaji sana point 3
Hii ngoma bado mbichi bro. Hata nyie mnajuaImewasaidiaje kupunguza gap la point 6?
Mbumbumbu hoyeeee...[emoji106][emoji16]Yanga Waombe Waende Kipindi Cha Pili wakagawe Bahasha warudi
Kumbe siku hizi shingo ni namba.Walikuwa shingo kwa shingo. Kwanza nimeshasahau, hivi Mayele ana goli ngapi ukijumuisha na zile alizopewa mpira na kipa?
Kwa hiyo nini kikatokea? Maana point 6 tunazoongelea, 3 ndiyo hizo alizochukua AzamMisimu sita Azam hajawahi kukufunga ww, juzi hapa kaona kabisa aibu. Halafu boss mwenyewe anakadi ya Simba.
Kamati ya kufukua umbumbumbu naendelea kuitendea haki [emoji2]Namungo nyie ni ndugu zetu kabisa tunawategemea msituangushe Hawa utopolo ni wepesi kama karatasi bahasha tu ndio zinazowaweka pale kileleni..
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya umbumbumbu na kuwa mshabiki wa Simba FCTeam Imepoteana Bado Wanahaha Na Mkataba Wa Kifuani Sijui Mwisho Wao Ni Upi
Alisikika kolo mmoja akisemaYule kichuya anastahili kurudi simba hakuna wakumuweka bench
Yule musonda na kambole tofauti yao majina tu
Namungo walistahili point kwenye mechi ya leo
Leo ndio nimeamini kocha nabi hana mbinu anabahatisha tu team imezidiwa kipindi chote cha kwanza anatoa macho tu mpaka dakika ya 40 yanga hawajapiga shot on target hata moja mi najua hizi kelele zote zitaisha kwenye Caf confederation cup na tp mazembe.