SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Nijibu basi, Mayele ana goli ngapi?Kumbe siku hizi shingo ni namba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nijibu basi, Mayele ana goli ngapi?Kumbe siku hizi shingo ni namba.
Kachukua tatu sababu mna timu mbovu msimu huu. Ila nyie si mnakubaliana, kuna msimu mmoja Azam alivyo chukua ubingwa, mlikubaliana Azam wawafunge ili mum kombe Yanga matokeo yake mechi ikaisha Azam 2-1 Simba,huku Simba akianza kutangulia.Kwa hiyo nini kikatokea? Maana point 6 tunazoongelea, 3 ndiyo hizo alizochukua Azam
Makolo wote wanajua idadi ya magoli ya Mayele usijifanyishe kusahauNijibu basi, Mayele ana goli ngapi?
Local edit imekupagawisha nawe ukajaaGSM haikwepeki ni kama kifoView attachment 2506382
Ushabiki mwingine aiisee. Haya Musonda kapata clear chances ngapi tokea alivyocheza mechi yake ya kwanza mpaka leo hii kapata nafasi ngapi unasema hapa hakuna mfungaji? Tupe takwimuYule kichuya anastahili kurudi simba hakuna wakumuweka bench
Yule musonda na kambole tofauti yao majina tu
Namungo walistahili point kwenye mechi ya leo
Leo ndio nimeamini kocha nabi hana mbinu anabahatisha tu team imezidiwa kipindi chote cha kwanza anatoa macho tu mpaka dakika ya 40 yanga hawajapiga shot on target hata moja mi najua hizi kelele zote zitaisha kwenye Caf confederation cup na tp mazembe.
Kusema timu mbovu unakosea sana ndugu yangu. Unaongelea timu ambayo inaongoza kwa mbali sana kwa magoli mpaka sasa katika ligi. Timu ambayo imeshinda mechi zote za CAF msimu huu, nyumbani na ugenini.Kachukua tatu sababu mna timu mbovu msimu huu. Ila nyie si mnakubaliana, kuna msimu mmoja Azam alivyo chukua ubingwa, mlikubaliana Azam wawafunge ili mum kombe Yanga matokeo yake mechi ikaisha Azam 2-1 Simba,huku Simba akianza kutangulia.
Baleke alifunga goli mbili za halali kabisa jana. Lililokataliwa linafanana kabisa na hilo alilokosa.Ushabiki mwingine aiisee. Haya Musonda kapata clear chances ngapi tokea alivyocheza mechi yake ya kwanza mpaka leo hii kapata nafasi ngapi unasema hapa hakuna mfungaji? Tupe takwimu
Tokea Musonda asajiliwe unajua Mayele kapoteza nafasi ngapi za wazi tena za kumalizia tu lakini kukosa kwa Mayele haiwi gumzo kwasababu kaishawanyazisha. Ila mmeamia kwa mtu ambaye hakuna nafasi ambayo unaweza kumuhukumu. Jana Baleke yeye na kipa tu kashindwa kufunga. Tupe chances alizotengenezewa Musonda. Kwako shabiki maandazi lete takwimu Musonda katengenezewa nafasi ngapi?
Timu huna ww timu ya mchezaji mmoja nayo timu.Kusema timu mbovu unakosea sana ndugu yangu. Unaongelea timu ambayo inaongoza kwa mbali sana kwa magoli mpaka sasa katika ligi. Timu ambayo imeshinda mechi zote za CAF msimu huu, nyumbani na ugenini.
Ukisema timu ambayo kuna wakati haichezi vizuri labda tunaweza kukubaliana. Mimi siyo mshabiki lia lia.
Unakipaji cha umbumbumbuYule kichuya anastahili kurudi simba hakuna wakumuweka bench
Yule musonda na kambole tofauti yao majina tu
Namungo walistahili point kwenye mechi ya leo
Leo ndio nimeamini kocha nabi hana mbinu anabahatisha tu team imezidiwa kipindi chote cha kwanza anatoa macho tu mpaka dakika ya 40 yanga hawajapiga shot on target hata moja mi najua hizi kelele zote zitaisha kwenye Caf confederation cup na tp mazembe.
Timu ya mchezaji mmoja, yupi huyo?Timu huna ww timu ya mchezaji mmoja nayo timu.
Mnamjua.Timu ya mchezaji mmoja, yupi huyo?
Hapo umekuja kwenyewe lete takwimu za baleke mkosa magoli na musonda mpata magoli kwenye league kuu mchezaji hata asipofunga anajulikana tu hana toffees na kibu Denis yule.Ushabiki mwingine aiisee. Haya Musonda kapata clear chances ngapi tokea alivyocheza mechi yake ya kwanza mpaka leo hii kapata nafasi ngapi unasema hapa hakuna mfungaji? Tupe takwimu
Tokea Musonda asajiliwe unajua Mayele kapoteza nafasi ngapi za wazi tena za kumalizia tu lakini kukosa kwa Mayele haiwi gumzo kwasababu kaishawanyazisha. Ila mmeamia kwa mtu ambaye hakuna nafasi ambayo unaweza kumuhukumu. Jana Baleke yeye na kipa tu kashindwa kufunga. Tupe chances alizotengenezewa Musonda. Kwako shabiki maandazi lete takwimu Musonda katengenezewa nafasi ngapi?
Leo mnajadili mkataba upi? topic ikianza ni tagLocal edit imekupagawisha nawe ukajaa
Na aliyesema yanga wenye akili ni wawili naye ameenda yanga kwa hyo mambumbu wameongezekaUnakipaji cha umbumbumbu
Azam walifanya replay zaidi ya mara tatu na kugandisha tukio. Na wazi kabisa ni offside na mtangazaji akamsifia kibendera kwa kuweza kwa ufasaha. Wewe unakuja kuleta uongo hapaBaleke alifunga goli mbili za halali kabisa jana. Lililokataliwa linafanana kabisa na hilo alilokosa.
Squad iliyoanza jana muweke Phiri, mtoe Saido atakayeingia second half, inamfunga yoyote yule Africa hii katika uwanja wowote.Mnamjua.
Basi convert magoli ya Baleke yawe points muongeze ligiHapo umekuja kwenyewe lete takwimu za baleke mkosa magoli na musonda mpata magoli kwenye league kuu mchezaji hata asipofunga anajulikana tu hana toffees na kibu Denis yule.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Offside kivipi, Zimbwe alipopokea mpira, Baleke alikuwa nyuma yake. Kama ZImbwe hakuwa offside hadi anapiga cross, Baleke inakuwaje awe offside?Azam walifanya replay zaidi ya mara tatu na kugandisha tukio. Na wazi kabisa ni offside na mtangazaji akamsifia kibendera kwa kuweza kwa ufasaha. Wewe unakuja kuleta uongo hapa
Nikupe takwimu ipi? Wewe uliyesema Musonda ni Kombole ndio ulete takwimu nafasi katengenezewa akakosa? Wewe si ndiye uliye muhukumu. Hakimu toa takwimu binafsi siwezi kumuhukumu kwasababu sijaona clear chances alizotengenezewa kwenye mechi za ligiHapo umekuja kwenyewe lete takwimu za baleke mkosa magoli na musonda mpata magoli kwenye league kuu mchezaji hata asipofunga anajulikana tu hana toffees na kibu Denis yule.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Edit ya logo ya GSM iliyoku trick ukajaaLeo mnajadili mkataba upi? topic ikianza ni tag