ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kama yule beki wa Azam aliyegeuka mshambuliaji wa Simba!
Kaushindi kembamba kana point ngapi?Uto Kaushindi kembamba kama kawaida.
Mambo ya kutafuta sare ni huko huko thimba....Yanga ushindi tuLeo ni droo tuu hakuna jipya
Tuna umuhimu wetu..tukisusa watatafutana hhahhahHata mbeya kwanza wakicheza na Ihefu, thread haiwezi kupoa kama hivi
Lol ww Topozi niteseke kwa lipi kwa huo ushindi mwembambaKolowizards likiwa linateseka raha sana kwa sisi Mashabiki wa Yanga [emoji16]
Kuchangamsha thread kunaongeza nini kwenye matokeo ya uwanjani? Mbona mnageuka kuwa na nongwa hivyo? Mbona Simba special thread umepoa kuliko hata wa Yanga na hamuhimizani kwenda kuuchangamsha.Hata mbeya kwanza wakicheza na Ihefu, thread haiwezi kupoa kama hivi
Muhimu points 3,kama umeona wachovu lete Timu yako uwanjani ucheze naoHii ndo timu inayojitapa?
π€£π€£π€£Anafungwa KMC ananuna Ndunduka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mambo sikuhizi n kinyume nyume
Nyuma kuna mwikoBado game 4 tuwe mabingwa,na hizo nne zinategemeana na Mikia kama hawataangisha points.
Daima mbele [emoji172][emoji169][emoji123]
Wasamehe mkuu wamevurugwa na msimamizi wa uchaguzi Manzoki alimuibia kura MangungoKwa hiyo kwa akili zako za kuvukia barabara, hiyo picha ndio ushahidi wa Yanga kushinda kwa bahasha? Kama ni mzazi basi wanao wana mtihani wa kumpata mzazi wa dizaini yako. Haya tupe basi na ushahidi wa bahasha za TP Mazembe, Monastir, Azam na nyie wenyewe Simba tulizowapa ili Yanga ipate matokeo.
Ndiyo maana mnaitwa madunduka fcNyuma kuna mwiko
Yametaga mapema mnoo πMakolo yamekimbilia mafichoni