OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Mechi inachezwa saa 2 na robo usiku, je tutegemee kumuona saido, Boco na Bareke? au wataweka kikosi B? Teh ntawaletea updates zote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu ndogo iliyosababisha Tanzania iwe na timu 4 kwenye mashindano ya Caf??Yanga imeshinda na Tanzania imefurahi
Hao wengine team ndogo ndogo kama wa leo lolote liwakute
Tumsubiri master OKW BOBAN SUNZU aje atupangie kikosi mkuuMechi inachezwa saa 2 na robo usiku, je tutegemee kumuona saido, Boco na Bareke? au wataweka kikosi B? Teh ntawaletea updates zote.
JKU hii hii iliyotaka kupindua meza ya singida FG chamanzi? basi tunaomba muwawekee kikosi cha pili mkuu kama yanga alivyofjnya maana ninyi klabu bora duniani kuliko manchester citySimba 4 Jku 1
Simba ni mojawapo mwa Klabu 10 Bora Afrika.JKU hii hii iliyotaka kupindua meza ya singida FG chamanzi? basi tunaomba muwawekee kikosi cha pili mkuu kama yanga alivyofjnya maana ninyi klabu bora duniani kuliko manchester city
🗣️ Teh teh! Timu ina wachezaji wale wale wanaocheza kila mechi.Mechi inachezwa saa 2 na robo usiku, je tutegemee kumuona saido, Boco na Bareke? au wataweka kikosi B? Teh ntawaletea updates zote.
Hasira za nini tena! Yaani hujafurahia pia kumpata mildfield mpya na mnyumbulifu kutoka kwa wapinzani wenu JKU!!Simba hata sitaki kuwafuatilia, watu tuna hasira sana kwa ajili yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie watu Kwa kutangatanga hamjambo....🗣️ Teh teh! Tunaisubiria furaha ya ushindi kwa hamu kutoka kwa vijana wetu wanywa urojo.
Imefanya wakati hata nusu haijawahi fika. Hivi vituko vya makoloTimu ndogo iliyosababisha Tanzania iwe na timu 4 kwenye mashindano ya Caf??
Hao ndiyo wanalaumiwa Kila siku, hizo mechi ni za kuwapa mazoezi.Kombe la Mapinduzi kinapelekwa kikosi cha Caf cha nini??😀 Makolo ni madunduka kweli