Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nyumba namba?Toka huko njoo utembee tembee huku Matejoo. 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba namba?Toka huko njoo utembee tembee huku Matejoo. 😅😅
Kwa kipi, mkimheshimu ninyi yatoshaWananchi kama kawaida... ila Joseph Guede aheshimiwe na kila mtu 💚💛
Usipaniki Hidaya FcKwa kipi, mkimheshimu ninyi yatosha
Uzuri mnamkubali mnyamaUsipaniki Hidaya Fc
Kwasababu alitugea goli 7Uzuri mnamkubali mnyama
Ukitoka nicheck. 🤪🤪Nyumba namba?
Hamna mtu humo.nguvu ya sodaHii post imekaa KIHASIBU.
Tiefuefu❌
TFF✅
Usituharibie kiswahili Tafadhaliii...!🤸
Guede anataka inye guedeguede je unaloooo!?Guedee inabidi tumpe mke Mtanzania, na mke huyo si mwingine ila ni Mimi..!🤸
Nitaenda UturukiGuede anataka inye guedeguede je unaloooo!?
Bado mechi tatu ila kadri Azam atakavyodondosha point ndipo watakavyoirahishia Yanga ubingwa. Mechi zinazofuatu ni Kagera, Mtibwa na Dodoma.Hivi bado mechi ngapi tutangaze ubingwa
Mloganzila wameanzisha kitengo cha cosmetic surgery hata ukitaka kuongeza nyonyo nenda Mloganzila.Nitaenda Uturuki
Kwan Azam kuna game kaangusha point yani kasare/kufungwa!?Bado mechi tatu ila kadri Azam atakavyodondosha point ndipo watakavyoirahishia Yanga ubingwa. Mechi zinazofuatu ni Kagera, Mtibwa na Dodoma.
Nimemaanisha kuwa kimahesabu Azam ana point 54 huku akiwa na michezo 6 ambazo sawa na point 18. Ukijumlisha na alizo nazo saivi inakuwa point 72.. Yanga ili atangaze ubingwa wanahitaji kufikisha point 73 ambazo haziwezi kufikiwa na yeyote yule. Kwasasa Yanga ina point 65 hivyo ili kupata point 73 inabidi apate point 9 sawa na michezo mitatu.Kwan Azam kuna game kaangusha point yani kasare/kufungwa!?
Umerogwa???Guedee inabidi tumpe mke Mtanzania, na mke huyo si mwingine ila ni Mimi..!🤸