Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FT. PenatiDakika ya ngapi huko?
🤣 🤣 🤣 🤣 alikuwepo na Fredwaaa pia likuwepo...Punguza jazba mtani, Mimi nimeuliza kwa wema tu, maana niko mbali na Tv. 😅😅😅😅
Vipi Pajobe yupo?
Acha kutafuta excuseTutatolewa tuu timu ipumzike...
Huko huko kwa makolowizardDunia ya jangwani
Ukiangalia walivyo cheza na ahly walikua Bora zaidi..Una maanisha ya Ahly ilikua bora?
Na ndio wenye red??Mashujaa
Hebu huko excuse nini sasa...kwahyo kupumzika ni sifa??Acha kutafuta excuse
Penati nani kapewa?FT. Penati
Sasa aibu ya nini...mbona nyie kipindi mnapitia msoto hamkuona aibu.. 😆 😆 😆Huu mtaa Aibu zina endelea kumbe. Kuna mashabiki wana mioyo dah
Penati kwa timu zote...Penati nani kapewa?
Itakuwa Simba Wanapoteza Muda Maana Wamekosa Mbinu Wanataka Wakajaribu Kwenye PenaltyNani anapoteza muda?
Lazima mmoja atoke hivyo wanapigiana penatiPenati nani kapewa?
Mbona kimataifa mnapigaga mpira mwingi? Huku Tz inakuwaje?? 😅😅😅🤣 🤣 🤣 🤣 alikuwepo na Fredwaaa pia likuwepo...
Mweeee
Kwahyo hujamuamini uto mwenzio..ni mashujaa ndo walikua wanapoteza muda..Itakuwa Simba Wanapoteza Muda Maana Wamekosa Mbinu Wanataka Wakajaribu Kwenye Penalty