Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Kitu gani nani kakwambia huo umbea?Naona kuna kitu nyuma ya pazia la Mnyama...kuna vitu vinaendelea humo unyamani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani nani kakwambia huo umbea?Naona kuna kitu nyuma ya pazia la Mnyama...kuna vitu vinaendelea humo unyamani...
Linajadiliwa muda si mrf mtapewa majibu...Tuliwafunga wakakataa Goli na refa wao
Sasa ushasema umbea unataka nini tena? Au na ww ni mmbea..Kitu gani nani kakwambia huo umbea?
Ya 90..furahi basi...Dakika ya ngapi huko?
Tunae langoni mdaka mishale Ally salum..Hawatoboi
Goli la Dunia nzima refa kajifanya kakaa upande wao kawatetea sio Goli wakati ni GoliLinajadiliwa muda si mrf mtapewa majibu...
Punguza jazba mtani, Mimi nimeuliza kwa wema tu, maana niko mbali na Tv. 😅😅😅😅Ya 90..furahi basi...
Nataka uropokeSasa ushasema umbea unataka nini tena? Au na ww ni mmbea..
Nani anapoteza muda?Hakuna kitu kinanikera kama huku kupoteza mda kijinga
MashujaaNani anapoteza muda?
Dunia ya jangwaniGoli la Dunia nzima refa kajifanya kakaa upande wao kawatetea sio Goli wakati ni Goli